Friday, February 25, 2011

Mbunge wa Arusha mjini atembelea viwawa njiro...

Mbunge wa Arusha mjini Hon.Godbless Lema jumapili hiliyopita alitembelea parokia yetu kuangalia maendeleo ya vijana katika parokia yetu na kukutana na mwenyekiti wa viwawa njiro na viongozi wengine tulijadili mipango mbalimbali ya kimaendeleo ya parokia yetu na kijimbo.Mbunge wa wa arusha mjini nampongeza sana kwa moyo wake wa kujitoa.

No comments: