Friday, May 20, 2011

Eti kurudiana na mpz wa zamani ni sawa na kurudia kuvaa nguo chafu baada ya kuoga?!

The One Diva Loveness Love>>SOURCE
 


    • Paul Ligoha is not true
      18 hours ago ·

    • Priscus Adelard Ni powa kwan baada ya kutangatanga unagundua ulipoteza chombo
      18 hours ago ·

    • Boniphace Laurent DAH! diva minafikiri ts luv dat matas hayo mengine yatkuwa ya wa2 2
      18 hours ago ·

    • Mushi Patrick Ebwana da ni kamaunakuwa umegundua weknes yko dat y una turn bck 2ur buu....!
      17 hours ago ·

    • Swahiba Rajab Nisawakurudiananampnzwazaman,fbothstlfileachothr...
      17 hours ago ·

    • Goodluck Gabriel Yeah sio nguo chafu 2 ni sawa na kula matapish!
      17 hours ago ·

    • Goodluck Gabriel How dare u cheat... i hate cheaters..
      17 hours ago ·

    • James Kitime Hapana diva kurudiana na x wapo ni kama maendeleo katika mahusiano.na ni hapo 2 ambapo ile methali ya binadamu siyo milima milima kwa maana hukutana na kusameheana ikiwa walikoseana
      17 hours ago ·

    • Hamzat Nzowa Diva wanaosema hivyo hayajawakuta.Kupenda jamani nihatari,hasa umpate anae kufikisha pale kati dah!We acha tu
      17 hours ago ·

    • Hamzat Nzowa Diva wanaosema hivyo hayajawakuta.Kupenda jamani nihatari,hasa umpate anae kufikisha pale kati dah!We acha tu
      17 hours ago ·

    • Acqueirine Marwa Mageta Diva inategemea mliachana kwa 7b zip!! ila mara nyng wa2 huwa hawarud kwa mapnz bali wanaangalia maslai zaid!
      17 hours ago ·

    • Hamzat Nzowa Diva wanaosema hivyo hayajawakuta.Kupenda jamani nihatari,hasa umpate anae kufikisha pale kati dah!We acha tu
      17 hours ago ·

    • Benson Fidelis No. umeona nini umuhimu wake kwako ndo sababu kumrudia. Na kurudia nguo baada ya kuonga c mbaya.
      16 hours ago ·

    • Faraja N Nyinyimbe yap mdada ni kwanini utapike then ukalambe kwani wameisha
      16 hours ago ·

    • David Ndohe Yap! Diva mapenz yanalaani dunia so kurudiana na mpenz wa zaman itategemeana na 7bu ambyo iliwa tenganisha.
      16 hours ago ·

    • David Ndohe Diva ukitema, tema kwel kuonesha mcmamo. So wananchi ktk mapenz ni weng pia madem wakal kila cku wanazaliwa so demu akimaind kuachana anatemwa kimoja zen 2naangalia masuala ya mbele kwa mbele. Ok?
      16 hours ago ·

    • Yaredi Erick Con ubaya wa kurudiana na x wako kwan tang kuachana mpk kurudiana tena kuna meng ambyo mmejifunza xo c sawa na kutoka kuoga na kurudia nguo iliyochafuka
      16 hours ago ·

    • Anna Makanta diva mapenz bwana ackwambie mtu kama mlipendana kwel hata mkosane kwa lipi mtarudiana tu utawavulia nguo watu wangapi shame diva dah!
      16 hours ago ·

    • Saidy Maulidy Cster diva,remember kupenda n upofu na kipenda roho hula nyama mbich so kumrudia x lov wako n jambo la kawaida
      16 hours ago ·

    • Nickson James dat z vry cmple diva,espcial km alikuwa anakufksha knye pick daaaaa....!! n ktendo ya kugusa 2
      15 hours ago ·

    • Nickson James diva manz yang nahc ananchora hv
      15 hours ago ·

    • David Anania Mwakyusa No diva me cdhan km ni vbaya wakludiana coz if u hv boyfrnd or galfrnd smthng lke dat must happen in our society xo km mnapendana mnaweza kuludiana bla tatzo
      15 hours ago ·

    • Julius Zephania Juzephania Kuludia Mpnz N suara la kawaida kabisa.
      14 hours ago ·

    • Pascal Dominic daaaaaa hiyo hakuna bwana penzi la zamani tamu bwana na hasa pale awe ndo mke wako wa kwanza au mme wako wa kwanza
      14 hours ago ·

    • Yussuph Mohamedy Ridhwan Sio kweli diva basi nini maana ya msamaha unapomsamehe mpnz wako mnarudiana kama mnapendana..
      13 hours ago ·

    • Alex Mlivela harua haina makombo mkielewana poa si una jua mambo mambo ya zamani mkiyamic mic u diva
      12 hours ago ·

    • Faraja N Nyinyimbe jamani let him go bcoz hiz part n story z over plz bana dnt reiz the ded love bt if z da first sina coment on dat
      12 hours ago ·

    • William Njagy i guess no it depends how deep lv is into twn 2
      11 hours ago ·

    • Reggy Sawe Hapana , depend on typ of lov u fil na wht mak u separat
      10 hours ago ·

    • Zay Msangi ‎..ts hard n simpl dependng on hw u broke up.
      10 hours ago ·

    • Nyiganda Charles Inategemea na mt mwenyewe na sababu yenyewe iliyosababisha muachane,lakin mkisha sawazisha masuala mnarudiana tu.
      9 hours ago ·

    • Bonie Yonah 'Bonitoh' Dah!nguo ninguo na itabaki nguo 2 ila...utamu wa penzi....ni dunia nyngne...me naona itategemeana...kama mm nikirudiana labda...awe nimembikiri...mimi au anamasham msham ya mahabati...sio...zaidi ya hapo nitamchuna2!
      9 hours ago ·

    • David Moses love z vr delicat mata guys kuachana n kurudiana dpends on th way brk up
      9 hours ago ·

    • Liwile Mahamoud si sawa!!!!!!!!!dah ,nimambo yapo ktk maisha baada ya kutafakari mwenyewe na kupata jibu ndiomaana akarudi kwa mpenzi wake saw!divaaaaaaaa
      9 hours ago ·

    • Hosea Ashery thnk t dpend on hw relshnp yenu ilikuwa vp,nguo n nguo,cnt cmpr wit luv diva,u cn hd bg fyt,n smply u cn setdown n gt bck.
      9 hours ago ·

    • Charity Clement Mkude Hapana c sawa,iwapo kuna umuhimu wa kurudiana naye,haijarishi,mrudie2,hata nguo uonekana chafu kwa mwingine na siyo mvaaji
      8 hours ago ·

    • Albert Katabwa Hapana diva.Ts gud kurudiana na mpenzi wako wa zamani.Sio kama vile kurudi nguo chafu
      7 hours ago ·

    • Mary Kapwani hi Diva, hope u're donig gud. si jambo zuri hata kidogo kumrudia mpenz wa zaman coz mara nyingi mambo yaliyowafanya muachane huwa yanajirudia vilevile.
      7 hours ago ·

    • David Johson'Big Dady' diva honestly i love ma x galfriend than my current one,i just cant forget her,i love her grace zacharia wa mbezi kimara
      7 hours ago · · 1 person

    • Bernard Augustino Malya Any girl who is looking for a boyfriend am free and single chat with me and u might be lucky bernardmalya@yahoo.com.
      7 hours ago ·

    • Dickson Georges diva kurudiana na x inategemea,smtimes inaweza kuwa ni just miss undrstndin ndo ilifanya mutengane for smtimes na kama stil real luv ipo mnaweza kurudiana. But mimi i cnt do tht coz i'm alrdy taken with a new chick,so my x 4get abt me. Diva plz play 4me alrdy taken by trey songs
      7 hours ago · · 1 person

    • Luggy Mushi Jossy mh diva i love ua romantic voice cwry,kiukwel kurudiana na x yategemea mliachana ktk mazingra yepi,pia yategemea na tym tng mlipo achana,km imepta months lyk 2 o 3 sawa,bt a year?nop..ila 2 me,cwez rudiana na ma x never...me dnt love im,hate im yan,play me get me bodied by beyonce
      7 hours ago ·

    • Onesmo Singo haiwe kwani mkirudian kilicho sababisha hapo mwanzo muachane ktawatenganisha tena. so sio goog at all
      7 hours ago ·

    • Evance Tairo Diva acha hizo mambo coz in this world people breakup and people make up, so penye real love there must be a second chance.
      6 hours ago ·

    • Evance Tairo Diva acha hizo mambo coz in this world people breakup and people make up, so penye real love there must be a second chance.
      6 hours ago ·

    • Deodotto Likonga You know what Diva, its happen with a reson and when its occur to come close again ever one come to respect each other and love come more stronger than before. By Deodotto from Ukonga. G9t
      6 hours ago ·

No comments: