Saturday, April 28, 2012

Marafiki kuweni Makini sana na swala la mapenzi

Dunson Cuthbert Olotu>>>Marafiki kuweni Makini sana na swala la mapenzi.Mimi yalishanikuta nilimpenda sana mwanamke anaeitwa Neema Mushi anafanya kazi Kakai Stationary Hapa Arusha nilimsaidia kwahali na Mali yeye na familia yake pia nilijitahidi kwa kilanililoweza kwakuwa nilimpenda achilia mbali Gari yakutembelea nilimnunulia namambo mengi mengi nilimuwezesha nilimuoa baada ya Ndoa mika minne kuisha nilianza kupata Habari kuwa Ana mahusiano nje nilifuatilia SIMU yake ameweka password zakutosha niliendelea nauchunguzi bilayeye kujua baada yakutimia miaka nane nilimfumania alikuwa na baba Mzee kuliko baba yangu niliwaweka ndani police Yule hawara wa Neema anaumri Wa miaka 58 Neema anaumri Wa miaka 27 hivyo baada yakotoa Maelezo police wote wanakubali walikuwa na mahusiano sikunyingi.Mke wahuyo hawara Wa Neema nae akawamkali sana KWANI Huyo hawara Wa Neema anafugwa na mkewe Hana mbele wala nyuma anaishi nyumba yakupanga vyumba viwili Wakati Ana watoto wakubwa kuliko Neema.Neema ananiibia hela ndani anampelekea Huyo hawara.Huyo hawara anaitwa Honest Temu nae yupo Arusha.hivyo nilihamua kumuacha Neema kabisa.amezunguka kila mahali anaomba nimsamehe namisitamsamehe kamwe ni muuwaji.kuweni Makini nahuyu Neema Aminadabu Mushi amezaliwa machame kijiji cha Shari mtaa wa kishare.huyu Temu amezaliwa Moshi Eneo la shambarai.KUWENI MACHO MARAFIKI

No comments: